Tuesday, October 9, 2012

UVCCM ARUSHA ADAIWA CHADEMA

Mgombea UVCCM Arusha atuhumiwa kuwa Chadema

MPASUKO ndani ya CCM Mkoa wa Arusha umechukua sura mpya baada ya Kamati ya Siasa kumsimamisha Mwenyekiti wa UVCCM, Wilaya ya Arumeru, Boniface Laizer akidaiwa kuwa na uhusiano wa karibu na Chadema.

Laizer ambaye pia ni mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Jumatano wiki hii, anadaiwa kuwa mfuasi wa kambi ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa.

No comments:

Post a Comment

This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people