Wednesday, October 10, 2012

Hatuna pa kwenda



Wanafamilia ya Aristides Ishebabi wa eneo la Sinza E Dar es Salaam wakilinda vyombo vyao nje ya nyumba walikokuwa wakiishi baada kampuni ya udalali kuwatoa kwenye nyumba hiyo kwa madai kuwa imeuzwa kwa mmoja wa wafanyabishara huku kesi ikiwa Mahakama Kuu Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people