Saturday, October 27, 2012

Huyu ndiye kiongozi wa Bakwata aliyejeruhiwa kwa Bomu Arusha

Katibu wa bakwata Mkoa wa Arusha Bw. Abdulkarimu Jonjo akiugulia maumivu katika wodi ya majeruhi ,katika hospitali ya mkoa mount Meru baada ya kulipuliwa na bomu la kutupwa na mkono akiwa amelala usingizini nyumbani kwake na watu wasiofahamika majira ya saa 6.30 usiku wa kuamkia leo. Picha na Josefu Ngilisho.

No comments:

Post a Comment

This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people