Kwenye
ukurasa wa uamsho wamesema Kiongozi huyo amepatikana hai usiku wa
kuamkia leo.kabla uamsho waliipa serikali masaa 26 hadi leo alasiri kiongozi wao awe amepatikana vinginevyo hali itakuwa mbaya Wakati huohuo Serikali ya Zanzibar imepiga marufuku matangazo yote yanayohusiana na kikundi hicho
No comments:
Post a Comment
This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people
No comments:
Post a Comment
This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people