Polisi yawashikilia watu wanaodhaniwa majambazi ITV
Suleimani Kova kamanda wa Polisi mkoa wa Dar es Salaam akiongea na waandishi wa habari kuhusu watu watano wanaoshukiwa kuwa ni majambazi waliohusika kumuua aliyekuwa kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Liberatus BArlow baada ya kuwakamata
No comments:
Post a Comment
This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people
No comments:
Post a Comment
This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people