Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akiwasili katika uwanja wa
ndege mjini Quebec, Canada
tayari kwa kuhudhuria mkutano wa 127 wa chama cha Mabunge Duniani (IPU)
unaotarajia kufunguliwa rasmi kesho tarehe 21 Oktoba, 2012 na kumalizika
26 Oktoba . Makinda ameongoja ujumbe wa wabunge wanne kutoka Tanzania,
ambapo zaidi ya maspika wa nchi 150 duniani wakiongoza ujumbe wa wabunge
kutoka Nchi zao watashiriki mkutano huo.
|
No comments:
Post a Comment
This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people