Life
Style Designer of Sex and Relationships kutoka Kenya Bi. Getrude Mungai
akitoa somo la kuhusiana na masuala ya mahusiano ya kimapenzi kwa wenye
ndoa na wasiokuwa na ndoa ambapo amesema vipo vitu vingi vinavyochangia
kuboresha ama kuharibu mahusiano hayo ambapo wahusika wanatakiwa
kuvifahamu na kuvitilia mkazo ili kudumisha mahusiano yao.
|
No comments:
Post a Comment
This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people