Sunday, November 25, 2012

Katibu wa CCM Abdulrahman Kinana afunika Arusha


Katibu Mkuu wa CCM Abdurahaman Kinana akisalimiana na Lowassa. Uwanja wa Ndege wa Arusha. Kushoto ni Ktb wa CCM Arusha, Mary Chatanda.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape akisalimiana na Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Uwanja wa Ndege wa Arusha. Kushoto  Ktb wa CCM mkoa wa Arusha Mary Chatanda.

Katibu Mkuu wa CCM Abdurahaman Kinana akifungua shina la wakereketwa wajasiriamali wa CCM la Nguruma, Arumeru, Arusha jana
 Kikundi cha vijana wa kimasai wakionesha ufundi wao wa kuruka
 Katibu wa CCM Abdulrahman Kinana akisalimia na wananchi
 Vijana wa Chadema waliohamia CCM
 Kinana akihutubia wananchi


No comments:

Post a Comment

This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people