Spika
wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akimpokea Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete wakati alipokuwa
akiwasili katika jengo jipya la Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini
Arusha kwa lengo la kuzindua Ukumbi wa Bunge la Afrika Mashariki ulioko
katika jengo hilo.
Spika
wa Bunge la Africa Mashariki Mhe. Margret Natongo Zziwa (kulia)
akimkaribisha Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda katika jengo
hilo leo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho
Kikwete akilihutubia Bunge la Afrika Mashariki wakati alipofika
kuzindua Ukumbi Mpya wa Bunge la Afrika Mashariki ulioko katika jengo jipya la Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini Arusha.
Jengo jipya la Jumuiya ya Afrika Mashariki.Picha na Prosper Minja- Bunge.
No comments:
Post a Comment
This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people