Wednesday, December 5, 2012

Abdulrahman kinana ashiriki mazishi ya aliyekuwa msaidizi wa CCM mkoa wa Pwani

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitia udongo kaburini, wakati wa mazishi ya aliyekuwa Katibu Msaidi wa CCM mkoa wa Pwani, Makame Mohamed Makame, leo kwenye makaburi ya Kisutu mjini Dar es Salaam. Makame ambaye amewahi pia kuwa Katibu wa CCm wilaya ya Kilombelo, amefariki juzi katika hospitali ya Tumbi mkoani mkoa wa Pwani. Picha na Bashir Nkoromo

No comments:

Post a Comment

This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people