KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitia udongo
kaburini, wakati wa mazishi ya aliyekuwa Katibu Msaidi wa CCM mkoa wa
Pwani, Makame Mohamed Makame, leo kwenye makaburi ya Kisutu mjini Dar es
Salaam. Makame ambaye amewahi pia kuwa Katibu wa CCm wilaya ya
Kilombelo, amefariki juzi katika hospitali ya Tumbi mkoani mkoa wa
Pwani. Picha na Bashir Nkoromo
No comments:
Post a Comment
This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people