Friday, December 21, 2012

Raisi Kikwete akutana na uongozi wa club ya Sunderland


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea jezi toka kwa mmiliki na Mwenyekiti wa Klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza, Sunderland, Bw. Ellis Short huku Makamu mwenyekiti wa Klabu hiyo Bw. David Milliband na Mkurugenzi wa Masoko wa klabu hiyo Bw. John Farnan wakiangalia baada ya mkutano wa na Rais Ikulu jijijni Dar es salam.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mwenyekiti wa Klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza, Sunderland, Bw. Ellis Short huku Makamu mwenyekiti wa Klabu hiyo Bw. David Milliband na Mkurugenzi wa Masoko wa klabu hiyo Bw. John Farnan Ikulu jijijni Dar es salam.

No comments:

Post a Comment

This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people