Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza SACP Liberatus Barlow
ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanasadikiwa kuwa ni majambazi katika eneo
la Kitangili jijini humo usiku wa kuamkia leo
Habari zinasema marehemu aliuawa majira ya saa tisa usiku akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake akitokea kumrudisha dada yake baada ya kuhudhuria kikao cha harusi
Habari zinasema marehemu aliuawa majira ya saa tisa usiku akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake akitokea kumrudisha dada yake baada ya kuhudhuria kikao cha harusi
Mkuu wa polisi Said Mwema amethibitisha kutokea kwa tukio
hilo na tayari mkuu wa upelelezi makosa ya jinai DCI Robert Manumba akiwa na
kikosi cha makachero wameelekeza nguvu zao Mwanza kuongeza nguvu katika
upelelezi mkali ambao umeshaanza
Habari zaidi ungana nasi baadaye
Habari zaidi ungana nasi baadaye
No comments:
Post a Comment
This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people