Friday, November 2, 2012

Hatimaye Arusha yawa jiji

 Jiwe la msingi wa barabara za mjini Arusha lilizinduliwa na raisi wa jamhuri ya muungano Mhe. Jakaya Kikwete jana
 Wazee mbalimbali waliojitokeza

 Ufunguzi rasmi wa Arusha kuwa jiji
 Kikwete akisalimiana na meya wa Arusha


Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Mhe Joshua Nassari akiwa ameketi bega kwa bega na Mama Mary Chatanda katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid wakati wa sherehe za kihistoria za kuuzindua rasmi mji huo wa kitalii kuwa jiji
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea  ufunguo wa kuwa mkaazi wa heshima wa Arusha toka kwa  Meya wa Jiji la Arusha Mstahiki Gaeudence Lytimo mbele ya maelfu ya wakazi wa jiji la Arusha katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid wakati wa sherehe za kihistoria za kuuzindua rasmi mji huo wa kitalii kuwa jiji

No comments:

Post a Comment

This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people