Thursday, October 25, 2012

Jerry Slaa avunja rekodi kwa kupata kura nyingi UVCCM

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa (pichani) ameibuka Kidedea na kuvunja rekodi ya Mwaka baada ya kutetea nafasi yake ya Ujumbe UVCCM kwa kupata kura 501 ambazo ni nyingi kuliko hata Mwenyekiti katika chaguzi zilizofanyika mjini Dodoma. Na Mdau Dodoma

No comments:

Post a Comment

This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people