![]() |
Nape Nnauye, Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi akiweka jiwe la
msingi katika ofisi mpya ya CCM ,Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro
tarehe 20/10/2012
|
![]() |
Wananchi wa kata ya Nanjara Reha wakimpokea Katibu wa NEC
,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye, tayari kwa uzinduzi rasmi wa kampeni za
CCM kwa kiti cha Udiwani.
|
No comments:
Post a Comment
This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people