Sophia Simba na Asha Bakari Khamis Waibuka Kidedea Uchaguzi wa UWT
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa UWT wakishangilia bbaada ya kutangazwa jina
la Mwenyekiti mpya wa Umoja huo Mhe. Sophia Simba na Makamu wake Asha
Bakari katika ukumbi wa Chuo cha Mipango Dodoma usiku wa kuakia leo
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama
Mwanamwema Shein, akitoa nasaha zake kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UWT
uliofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Mipango Dodoma na kumchangua
Mwenyekiti Mpya Sophia Simba
No comments:
Post a Comment
This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people
No comments:
Post a Comment
This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people