Picha
zote ni gari aina ya Toyota Hiace lenye namba T 771 AQD mali ya Shule
ya Sekondari ya Scolastica ambalo lilipata ajali Desemba 10 eneo la kona
ya Mto Kikavu iliyopo Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanajro na kuuwa
watumishi watano wa shule hiyo baada ya kugongana na lori. Picha na
Rodrick Mushi.
No comments:
Post a Comment
This is a public viewable website, post something that is not harmful to other people